Sunday, October 12, 2008


JE UNAKUMBUKA KHANGA PARTY ?
Clouds Fm walijizolea sifa kemkem enzi hizo kwa kuandaa matamasha ya KHANGA PARTY

BACK 'N' DAYS
Mr II na Lady JD wakitoa burudani enzi hizo kumbuka hawa ni miongoni mwa wasanii wa mwanzo mwanzo katika medani ya Bongo fleva, Lady JD alianza kuimba na kundi la AfroReign na humo kulikuwa na Bonny Harmony, Nature Peace nawengine wengi enzi hizo, Mr II alitokea mbeya na kuja kushiriki katika tamasha la Yo Rap Bonanza II iliyofanyika jengo la Empress Cinema na alipanda jukwaani na kundi la Da young Mob la temeke, Mr II, Sugu, II Proud yote ni majina yake ukipenda muite Real Name Joseph Mbilinyi kwa sasa yuko USA anafanyakazi na anajishughulisha na muziki.

Get real meaning of Bongo fleva:
toka kwa Ibony Moalim: Neno Bongo ni neno linalotokana na maana kuu 2 ya kwanza ni ile tafsiri ya kuwa watanzania wengi huishi kwa kutumia akili (Bongo) yaani kwa watu waliokuwepo miaka ya 90 hili neno lilitumika sana kwa mfano mtoto huyu ni Bongo lala ni yule ambae hana akili, na Maana ya pili kutokana na hali ngumu ya watanzania tuliyokuanayo hasa baaba ya vita vya Kagera majirani zetu walitukejeli kuwa sisi ni wagumu kama vingoma vinavyotumika kwenye bendi za Orchestra maarufu kwa jina la Bongos, ugumu wa vigoma hivyo ndiyo tulifanishwa navyo. Twende kwenye neno Fleva ni neno la kingereza lenye maana ya vionjo.

Bongo fleva ni mtindo wa muziki ambao ulikuja na utandawazi miaka ya 90 wakati studio za kuandalia muziki zilipoingia, kwa sisi wa Dar es salaam ilikuwa ni Don Bosco Kwa Marlon/Amri hingi/Joshua Kyara /Richard mloka/John Ngosha hawa walikuwa maprodyuza, ukikosa hapo ni Magomeni kwa Mhuto na Prodyuza alikuwa ni Jerry/Joseph na George mhuto au unaweza kwenda Oysterbay kwa Master Jay kwenye kontena na prodyuza Alikuwa Master Jay/P funk/John Kagaruki au kwa Enriko Temeke Sound Crafters na maproduza walikuwa ni Enriques na Roy. au Mawingu Studio kwa prodyuza bonny lov/Kusaga Kipindi hiki studio zote walikuwa na mashine za kurekodi 4 track na wenye work station walikuwa wanaweza 'ku RE bauns' na kupa track 8, upeo wa maproduza ulikuwa mdogo sana na na hata vifaa vilikuwaduni Kwa wale wasanaii wa michezo ya kuigiza na Orchestra/Kwaya walikwenda RTD nao walikuwa na studio kwa Dar es salaam ndiyo ilikuwa studio kubwa pekee. (kumbuka wengine walitumia SPOOL yaani mikanda mikubwa kama ya kurekodia kwenye Sinema.

Ilipofika 96 kuliakuwa na utitiri wa "Home studios" nahapo ndipo ilipotokea maana ya Bongo fleva:
Ubunifu wa midundo ya muziki unatokana na vionjo ambayo hupatikana kwa kila aina ya mtindo wa muziki kwa mfano kuna vionjo vya Zouk, Orchestra Rhumba, Pop, R&B, Soul na vingine vingi,

KATIKA KUBUNI MUZIKI:
Kwa kawaida maproduyuza wanatakiwa kutumia staili moja ya muziki au kuchanganya staili 2 ili kutengeneza 'Fussion' yaani mchanganyiko wa aina mbili za mitindo ambao utaleta staili moja.

Kwa ajili ya utandawazi hapa kwetu ikawa kinyume na utaratibu wa kutengeneza 'Fussion' kutoka kwenye mitindo 2 ilikuwa ni Fussion ya mitindo zaidi ya 5 na maprudyuza wengi walikuwa waki Fluk na kupata muziki ambao hawakuutarajia ila unasikika vizuri wengine walitumia Sampler na wengine plugins ili kufanikisha zoezi hilo.

Maprodyuza studio hawakufahamu hiki ni kionjo cha Mtindo gani wa muziki kwahiyo walitupia tupia vionjo visinyopungua aina tano na kupata Fussion iliyozaa BONGO FLEVA , Upande wa wasanii ndio walichangia sana kuwapoteza maprodyuza wakiwa studio kwa kuwa kila kionjo walichowasikilizisha walidata nacho na kutaka kiwepo kwenye nyimbo kwa hiyo nyimbo moja itakuwa na vionjo mbalimbali Unaweza kukuta Drams(Rythm) inaenda Zouk lakini Bassline ya hiphip, Vinanda vya R&B muimbaji mwenyewe anaimba Rap hii 'Fussion' ndio iliyozaa BONGO FLEVA. Endelea kupitia tovuti hii utapata mengi kuhusu Bongo Fleva.
Bongo fleva: Bongo fleva ni neno ambalo linatumika sana na vijana ili kuupa muziki

Thursday, October 9, 2008

miss tz 2006

Professor Jay nominated for MTV Africa Music Awards

Professor J Tanzania's sole contender in the WAMA

MTV UNVEILS CONTENDERS FOR FIRST EVER
MTV AFRICA MUSIC AWARDS WITH ZAIN


Lagos, 7 October 2008: MTV Networks Africa today announced the contenders for the first ever
MTV Africa Music Awards with Zain (MAMA).




The nominations for the inaugural pan-African music awards ceremony were revealed at a VIP soirĂ©e at Planet One, Lagos, Nigeria by Alex Okosi, Senior Vice President and Managing Director, MTV Networks Africa and Norman Moyo, Chief Marketing Officer, Zain Nigeria, in the presence of nominees D’Banj, Wahu, DJ Cleo and Naeto C.


Selected by an independent voting ‘academy’ of 150 music professionals and opinion formers from 30 countries in sub-Saharan Africa, the nominations for the MTV Africa Music Awards with Zain showcase the wealth of musical talent that Africa has to offer, and provide the ultimate vehicle for young Africans to salute the African and international artists that rock their worlds.
Heading the nominee list with 5 ‘nods’ from the MAMA nominations
academy are Nigerian R&B duo P-Square (Best Group, Best Live Performer, Best R&B, Best Video and Artist of the Year), closely followed by triple nominees D’Banj (Nigeria) and HHP (South Africa), who go head-to-head in the Best Male and Artist of the Year categories. Wahu (Kenya) and Asa (Nigeria) share the honours as the most nominated female artists with two nominations each for Wahu (Best New Act, Best Female) and Asa (Best Female, Artist of the Year).
Topping the country roll of honour with 18 individual nominations is South Africa, closely followed by Nigeria (16 nominations). Kenyan artists scored three nominations: Jua Cali for Best Male and Wahu for Best New Act & Best Female. Ghanaian artists were recognised in two categories: Best Live Performance (Samini) and Best New Act (Kwaw Kese), while Mozambique, Gabon, Tanzania and Uganda all scored one nominee with recognition for Professor Jay (Tanzania), East Africa Bashment Crew (Uganda), Movaizhaleine (Gabon) and Dama do Bling (Mozambique).
US, and European artists are represented in three categories with nods to Akon, Rihanna and Alicia Keys for Best R&B, while rappers The Game and Lil Wayne both feature in Best Hip Hop. Prominent in the Best Alternative category are British rockers Coldplay, competing against, Buraka Som Sistema (Portugal) and a trio of South African contenders: Goldfish, The Parlotones and Seether.
The nominees for the 2008 MTV Africa Music Awards with Zain are:

BEST FEMALE
Wahu (Kenya)
Asa (Nigeria)
Dama Do Bling (Mozambique)
Sasha (Nigeria)
Zonke (South Africa)

BEST MALE
Jua Cali (Kenya)
2Face (Nigeria)
D’Banj (Nigeria)
DJ Cleo (South Africa)
HHP (South Africa)

BEST LIVE PERFORMER
Samini (Ghana)
D’Banj (Nigeria)
P-Square (Nigeria)
Cassette (South Africa)
Jozi (South Africa)

BEST GROUP
P-Square (Nigeria)
Freshly Ground (South Africa)
Jozi (South Africa)
The Parlotones (South Africa)
East African Bashment Crew (Uganda)

BEST ALTERNATIVE
Buraka Som Sistema (Portugal)
Goldfish (South Africa)
Seether (South Africa)
The Parlotones (South Africa)
Coldplay (UK)

BEST HIP-HOP
9ice (Nigeria)
HHP (South Africa)
Professor Jay (Tanzania)
Lil Wayne (USA)
The Game (USA)

BEST R&B
P-Square (Nigeria)
Akon (Senegal / USA)
Loyiso (South Africa)
Alicia Keys (USA)
Rihanna (USA)

ARTIST OF THE YEAR
Asa (Nigeria)
D’Banj (Nigeria)
P-Square (Nigeria)
HHP (South Africa)
Seether (South Africa)

BEST NEW ACT
Kwaw Kese (Ghana)
Wahu (Kenya)
9ice (Nigeria)
Naeto C (Nigeria)
Da L.E.S. (South Africa)

BEST VIDEO
Movaizhaleine (Gabon) – Nous
Ikechukwu (Nigeria) – Wind Am Well
P-Square (Nigeria) – Roll It
Freshlyground (South Africa) – Pot Belly
Pro Kid (South Africa) – Uthini Ngo Pro

The winners of the MTV Africa Music Awards with Zain will be unveiled at The Velodrome, Abuja, on Saturday, 22 November 2008 and broadcast on MTV base (DStv Channel 322, GTV), partner networks and terrestrial channels RTGA (Democratic Republic of the Congo), TV3 (Ghana), NTV (Kenya), AIT (Nigeria), STV (Nigeria), TBC (Tanzania) and WBS (Uganda), from 29 November 2008.

To vote for your favourite artist or video, please go to
mama.mtvbase.com. Music fans with WAP/GPRS enabled phones may also vote at m.mama.mtvbase.com (standard internet charges apply).



Voting closes on Tuesday 18 November 2008.
For details of SMS voting go to

mama.mtvbase.com.